iqna

IQNA

shirika la habari
Ibada ya Hija
Zaidi ya nakala nusu milioni za Qur'ani Tukufu zimesambazwa katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid al Haram na maeneo matakatifu karibu na mji huo, Wizara ya Masuala ya Kiislamu ya Saudi Arabia imetangaza.
Habari ID: 3475471    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/07

Maambukizi ya Covid-19
TEHRAN (IQNA) - Uvaaji wa barakoa ndani ya misikiti itakuwa ya lazima nchini Qatar kuanzia Alhamisi.
Habari ID: 3475470    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/07

Uchambuzi wa kisiasa
TEHRAN (IQNA) - Kwa mujibu wa mtaalamu kutoka Ujerumani, mazungumzo kuhusu bei ya nishati na vile vile kutetea uhusiano wa kawaida kati ya Saudi Arabia na utawala wa Israel ni kati ya ajenda ya ziara ya kwanza ya Rais wa Marekani Joe Biden katika eneo la (Asia Magharibi) Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3475468    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/06

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Abdul Salam Wajih, mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Zaidi wa Yemen, alifariki Jumanne asubuhi akiwa na umri wa miaka 66.
Habari ID: 3475466    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/05

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya waumini wa dini tukufu ya Kiislamu kutoka kona zote za dunia wameendelea kuwasili katika mji mtakatifu wa Makka Ijumaa, wakiwa ni miongoni mwa Waislamu milioni moja wanaotarajiwa kushiriki ibada ya Hija mwaka huu wa 2022 ambapo hii ni mara ya kwanza baada ya miaka miwili ya kuzuia mahujaji kutoka nje ya Saudia kutokana na janga la Covid.
Habari ID: 3475446    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala katili wa Israel wamempiga risasi na kumuua kijana wa Kipalestina walipokuwa wakivamia sehemu ya kaskazini ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo katika wiki za hivi karibuni.
Habari ID: 3475443    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/29

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Muislamu Muingereza mwenye asili ya Iraq aliwasili Makka siku ya Jumapili baada ya kuanza safari ya miguu zaidi ya miezi 10 iliyopita nchini Uingereza.
Habari ID: 3475441    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/29

Kuhifadhi Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya wanafunzi 8,000 wa Uturuki wamehitimu katika somo la kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika kozi ambayo imedumu mwaka moja
Habari ID: 3475440    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/29

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Mwanafunzi wa taaluma ya tiba katika Chuo Kikuu cha Alezandria nchini Misri ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya kuhifadhi Qur'ani ya wasichana katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3475439    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kikao cha Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amehutubia kikao cha Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran na maafisa na wafanyakazi wa chombo hicho akisema matokeo ya kusimama kidete mbele ya maadui ni kupata ushindi na maendeleo.
Habari ID: 3475438    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/28

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Uchunguzi mpya umebaini kuwa, karibu asilimia 50 ya misikiti yote nchini Uingereza imekumbana na hujuma za chuki dhidi ya Uislamu katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
Habari ID: 3475436    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/28

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Uingereza yamkini hawataweza kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu baada ya kusibiri kwa muda wa miaka wakati Hija ilikuwa marufuku kwa walio nje ya Saudia kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3475434    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/27

Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisisitiza kuhusu utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) na kuongeza kuwa, wanaosaliti Palestina kwa kuanzisha uhusiano na utawala bandia wa Israel wafahamu kuwa ukombozi wa Msikiti wa Al Aqsa unakaribia.
Habari ID: 3475427    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/26

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa Israel wamemuua kijana wa Kipalestina wakati wa kukamatwa katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu
Habari ID: 3475423    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/25

Ripoti yafichua
TEHRAN (IQNA)- Mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman, anatekeleza mpango ambao utawawezesha Waisraeli kununua milki katika miji mitakatifu ya Makka na Madina
Habari ID: 3475415    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/23

Soko la 'Halal'
TEHRAN (IQNA) – Makampuni ya chakula ya Korea Kusini yanatilia maanani soko la 'Halal' katika nchi mbalimbali.
Habari ID: 3475411    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/22

Vazi la Hijabu ni haki
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Nigeria wamepongeza hukumu ya mahakama ya kilele ambayo imesema wanafunzi wa kike Waislamu wana haki ya kuvaa vazi la staha la Hijabu katika shule za serikali mjini Lagos.
Habari ID: 3475403    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na Rais wa Kazakhstan na kusema tatizo kuu katika kadhia ya Ukraine ni kuwa, nchi za Magharibi zina mpango wa kupanua muungano wa kijeshi wa NATO.
Habari ID: 3475400    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20

Hujjatul Islam Ahmad Marvi
MASHHAD (IQNA)- Hujjatul Islam Ahmad Marvi anasema tatizo kubwa la ulimwengu wa Kiislamu ni kushindwa kumtambua adui halisi.
Habari ID: 3475396    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/19

Qarii wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Klipu hii hapa chini inaonyesha qarii mtajika wa Qur'ani Tukufu kutoka Misri Mustafa Ismail akisoma aya yza 30-36 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3475390    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/18